Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 3:11 - Swahili Revised Union Version

11 kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 sawasawa na kusudi lake la milele alilolitimiza katika Al-Masihi Isa Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 sawasawa na kusudi lake la milele katika Al-Masihi Isa Bwana wetu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu.

Tazama sura Nakili




Waefeso 3:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mambo haya uliyaficha moyoni mwako; Najua kuwa haya yamo nafsini mwako;


Nayo nchi yatetemeka, nayo ina uchungu; maana makusudi ya BWANA juu ya Babeli yasimama, kuifanya nchi ya Babeli ukiwa, isikaliwe na mtu.


(kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye),


Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.


na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake.


kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.


akiisha kutujulisha siri ya mapenzi yake, kulingana na radhi yake aliyoikusudia katika yeye huyo.


Kwa sababu hiyo mimi Paulo ni mfungwa wake Kristo Yesu kwa ajili yenu ninyi Mataifa;


ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu kabla ya wakati kuanza,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo