Waefeso 3:11 - Swahili Revised Union Version11 kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 sawasawa na kusudi lake la milele alilolitimiza katika Al-Masihi Isa Bwana wetu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 sawasawa na kusudi lake la milele katika Al-Masihi Isa Bwana wetu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu. Tazama sura |