Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 9:20 - Swahili Revised Union Version

20 akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mose alisema: “Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mose alisema: “Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mose alisema: “Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Alisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo Mungu amewaamuru kulitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Alisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo Mwenyezi Mungu amewaamuru kulitii.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu.

Tazama sura Nakili




Waebrania 9:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akaitwaa ile damu, akawanyunyizia watu, akasema, Hii ndiyo damu ya agano alilolifanya BWANA pamoja nanyi katika maneno haya yote.


Na kwa habari zako wewe, kwa sababu ya damu ya agano lako, nimewatoa wafungwa wako katika shimo lile lisilo na maji.


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


ili uingie katika agano la BWANA, Mungu wako, na kiapo chake, afanyacho nawe BWANA, Mungu wako, hivi leo;


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


Nao wakamwendea Yoshua hadi kambini huko Gilgali, nao wakamwambia yeye na watu wa Israeli, Sisi tumetoka nchi ya mbali sana; basi kwa hiyo fanyeni agano pamoja nasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo