Waebrania 8:8 - Swahili Revised Union Version8 Maana, anapowalaumu, asema, Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, Nami nitawatimizia nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda agano jipya; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: “Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: “Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: “Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na wa Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Lakini Mungu aliona kosa kwa watu, naye akasema: “Siku zinakuja, asema Mwenyezi Mungu, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Lakini Mwenyezi Mungu aliona kosa kwa watu, naye akasema: “Siku zinakuja, asema Bwana Mwenyezi, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Maana, anapowalaumu, asema, Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, Nami nitawatimizia nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda agano jipya; Tazama sura |