Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 8:7 - Swahili Revised Union Version

7 Maana kama lile la kwanza lingalikuwa halina upungufu, nafasi isingalitafutwa kwa lile la pili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa maana kama hapakuwa na kasoro katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa maana kama hapakuwa na kasoro katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Maana kama lile la kwanza lingalikuwa halina upungufu, nafasi isingalitafutwa kwa lile la pili.

Tazama sura Nakili




Waebrania 8:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi je! Torati haipatani na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa kuwa, kama ingalitolewa sheria iwezayo kuhuisha, hakika haki ingalipatikana kwa sheria.


Wala sifanyi na ninyi peke yenu agano hili na kiapo hiki;


Basi, kama ukamilifu ulikuwapo kwa ukuhani wa Lawi; (maana watu wale waliipata sheria kwa huo); kulikuwa na haja gani tena ya kuhani mwingine awepo, kwa mfano wa Melkizedeki, wala asihesabiwe kwa mfano wa Haruni?


Maana, kuna kubatiliwa kwa ile amri iliyotangulia, kwa sababu ya udhaifu wake, na kutokufaa kwake;


Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo