Waebrania 8:7 - Swahili Revised Union Version7 Maana kama lile la kwanza lingalikuwa halina upungufu, nafasi isingalitafutwa kwa lile la pili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa maana kama hapakuwa na kasoro katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa maana kama hapakuwa na kasoro katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Maana kama lile la kwanza lingalikuwa halina upungufu, nafasi isingalitafutwa kwa lile la pili. Tazama sura |