Waebrania 2:15 - Swahili Revised Union Version15 awaache huru wale ambao katika maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 awaache huru wale ambao katika maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa. Tazama sura |