Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 12:8 - Swahili Revised Union Version

8 Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini msipoadhibiwa kama wana wengine, basi, nyinyi si wanawe, bali ni wana haramu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini msipoadhibiwa kama wana wengine, basi, nyinyi si wanawe, bali ni wana haramu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini msipoadhibiwa kama wana wengine, basi, nyinyi si wanawe, bali ni wana haramu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kama hakuna kuadibishwa (ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni watoto haramu, wala si watoto halali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kama hakuna kuadibishwa (ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni watoto wa haramu wala si watoto halali.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali.

Tazama sura Nakili




Waebrania 12:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, Kwa hao walio safi mioyo yao.


Ila tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia.


Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya Naye humpiga kila mwana amkubaliye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo