Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 10:21 - Swahili Revised Union Version

21 na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mwenyezi Mungu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu;

Tazama sura Nakili




Waebrania 10:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Lakini nikikawia, upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli.


Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye kafara ya suluhu kwa dhambi za watu wake.


Kwa hiyo, ndugu watakatifu, wenye kuushiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini sana Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu, Yesu,


alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa Melkizedeki.


Maana ilitupasa sisi tuwe na kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu, asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lolote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu kuliko mbingu;


Basi, katika hayo tunayosema, neno lililo kuu ndilo hili: Tunaye kuhani mkuu wa namna hii, aliyeketi mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Ukuu mbinguni,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo