Waamuzi 8:9 - Swahili Revised Union Version9 Naye akawaambia hao watu wa Penieli nao, akisema, Nitakapokuja tena kwa amani, nitaubomoa mnara huu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Gideoni akawaambia, “Nitakaporudi kwa amani nitaubomoa mnara huu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Gideoni akawaambia, “Nitakaporudi kwa amani nitaubomoa mnara huu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Gideoni akawaambia, “Nitakaporudi kwa amani nitaubomoa mnara huu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Hivyo akawaambia wanaume wa Penieli, “Nitakaporudi kwa ushindi, nitaubomoa mnara huu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Hivyo akawaambia watu wa Penieli, “Nitakaporudi baada ya kushinda, nitaubomoa mnara huu.” Tazama sura |