Waamuzi 7:9 - Swahili Revised Union Version9 Ikawa usiku uo huo BWANA akamwambia, Ondoka, shuka kambini; maana nimeitia katika mikono yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Usiku huo, Mwenyezi-Mungu akamwambia Gideoni, “Nenda ukawashambulie kambini mwao, maana nimewatia mikononi mwako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Usiku huo, Mwenyezi-Mungu akamwambia Gideoni, “Nenda ukawashambulie kambini mwao, maana nimewatia mikononi mwako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Usiku huo, Mwenyezi-Mungu akamwambia Gideoni, “Nenda ukawashambulie kambini mwao, maana nimewatia mikononi mwako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Usiku ule ule Mwenyezi Mungu akamwambia Gideoni, “Ondoka, ushuke ushambulie kambi, kwa kuwa nimeitia mkononi mwako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Usiku ule ule bwana akamwambia Gideoni, “Ondoka, ushuke kambini, kwa kuwa nimeitia mkononi mwako. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Ikawa usiku huo huo BWANA akamwambia, Ondoka, shuka kambini; maana nimeitia katika mikono yako. Tazama sura |