Waamuzi 5:9 - Swahili Revised Union Version9 Moyo wangu unawaelekea makamanda wa Israeli, Waliojitoa nafsi zao kwa hiari yao miongoni mwa watu; Mhimidini BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Nawapa heshima makamanda wa Israeli waliojitoa kwa hiari yao kati ya watu. Mshukuruni Mwenyezi-Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Nawapa heshima makamanda wa Israeli waliojitoa kwa hiari yao kati ya watu. Mshukuruni Mwenyezi-Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Nawapa heshima makamanda wa Israeli waliojitoa kwa hiari yao kati ya watu. Mshukuruni Mwenyezi-Mungu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli, u pamoja na wale wanaojitoa kwa hiari yao miongoni mwa watu. Mhimidini Mwenyezi Mungu! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli, pamoja na wale wanaojitoa wenyewe kwa hiari yao miongoni mwa watu. Mhimidini bwana! Tazama sura |