Waamuzi 3:7 - Swahili Revised Union Version7 Wana wa Israeli walifanya yaliyo maovu mbele za macho ya BWANA, nao wakamsahau BWANA, Mungu wao, nao wakawatumikia Mabaali na Maashtorethi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; wakamsahau Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, wakaabudu Mabaali na Maashera. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; wakamsahau Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, wakaabudu Mabaali na Maashera. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu; wakamsahau Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, wakaabudu Mabaali na Maashera. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Waisraeli wakafanya maovu machoni pa Mwenyezi Mungu, wakamsahau Mwenyezi Mungu, Mungu wao, na kutumikia Mabaali na Maashera. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Waisraeli wakafanya maovu machoni pa bwana, wakamsahau bwana Mwenyezi Mungu wao na kutumikia Mabaali na Maashera. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Wana wa Israeli walifanya yaliyo maovu mbele za macho ya BWANA, nao wakamsahau BWANA, Mungu wao, nao wakawatumikia Mabaali na Maashtorethi. Tazama sura |