Waamuzi 3:16 - Swahili Revised Union Version16 Ehudi alijifanyia upanga uliokuwa na makali kuwili, urefu wake ulipata dhiraa moja; akaufunga huo upanga ndani ya nguo yake katika paja lake la mkono wa kulia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Ehudi akajitengenezea upanga wenye makali kuwili; urefu wake sentimita hamsini. Akaufunga kiunoni mwake upande wa kulia ndani ya mavazi yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Ehudi akajitengenezea upanga wenye makali kuwili; urefu wake sentimita hamsini. Akaufunga kiunoni mwake upande wa kulia ndani ya mavazi yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Ehudi akajitengenezea upanga wenye makali kuwili; urefu wake sentimita hamsini. Akaufunga kiunoni mwake upande wa kulia ndani ya mavazi yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Basi Ehudi alikuwa ametengeneza upanga ukatao kuwili, ukiwa na urefu wa kama dhiraa moja, naye akaufunga upanga huo ndani ya nguo yake, kwenye paja lake la mkono wa kuume. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Basi Ehudi alikuwa ametengeneza upanga wenye ukatao kuwili, urefu wake ni kama dhiraa moja, akaufunga upanga huo ndani ya nguo yake kwenye paja lake la mkono wa kuume. Tazama sura |