Waamuzi 2:11 - Swahili Revised Union Version11 Wana wa Israeli walifanya mambo maovu mbele za macho ya BWANA, na wakawatumikia Mabaali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Basi, Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu na kuabudu Mabaali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Basi, Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu na kuabudu Mabaali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Basi, Waisraeli walitenda uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu na kuabudu Mabaali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Mwenyezi Mungu na kuwatumikia Mabaali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa bwana na kuwatumikia Mabaali. Tazama sura |