Waamuzi 16:4 - Swahili Revised Union Version4 Ikawa baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika bonde la Soreki, jina lake akiitwa Delila. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Baada ya hayo, Samsoni alimpenda mwanamke mmoja aitwaye Delila ambaye aliishi katika bonde la Soreki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Baada ya hayo, Samsoni alimpenda mwanamke mmoja aitwaye Delila ambaye aliishi katika bonde la Soreki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Baada ya hayo, Samsoni alimpenda mwanamke mmoja aitwaye Delila ambaye aliishi katika bonde la Soreki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika Bonde la Soreki aliyeitwa Delila. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika Bonde la Soreki aliyeitwa Delila. Tazama sura |