Waamuzi 11:5 - Swahili Revised Union Version5 Ikatukia, hapo wana wa Amoni walipopigana na Israeli, wazee wa Gileadi wakaenda kumtwaa huyo Yeftha katika ile nchi ya Tobu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Wakati vita vilipopamba moto, wazee wa Gileadi wakaenda kumleta Yeftha kutoka nchi ya Tobu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Wakati vita vilipopamba moto, wazee wa Gileadi wakaenda kumleta Yeftha kutoka nchi ya Tobu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Wakati vita vilipopamba moto, wazee wa Gileadi wakaenda kumleta Yeftha kutoka nchi ya Tobu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 viongozi wa Gileadi wakaenda kumchukua Yefta katika nchi ya Tobu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 viongozi wa Gileadi wakaenda kumchukua Yefta katika nchi ya Tobu. Tazama sura |