Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 11:6 - Swahili Revised Union Version

6 wakamwambia Yeftha, Njoo wewe uwe kichwa chetu, ili tupate kupigana na wana wa Amoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 wakamwambia, “Njoo utuongoze katika vita vyetu na Waamoni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 wakamwambia, “Njoo utuongoze katika vita vyetu na Waamoni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 wakamwambia, “Njoo utuongoze katika vita vyetu na Waamoni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wakamwambia Yefta, “Njoo, uwe jemadari wetu, ili tuweze kupigana na Waamoni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wakamwambia Yefta, “Uwe jemadari wetu, ili tuweze kupigana na Waamoni.”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 11:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakapomshika ndugu yake ndani ya nyumba ya baba yake, akisema, Wewe una nguo, ututawale wewe; na mahali hapa palipobomoka pawe chini ya mkono wako;


Wakati huo wana wa Amoni walikutana pamoja, wakapiga kambi huko Gileadi. Wana wa Israeli nao wakajikusanya wakapiga kambi Mispa.


Ikatukia, hapo wana wa Amoni walipopigana na Israeli, wazee wa Gileadi wakaenda kumtwaa huyo Yeftha katika ile nchi ya Tobu;


Yeftha akawaambia wazee wa Gileadi, Je! Ninyi hamkunichukia mimi na kunifukuza nitoke katika nyumba ya baba yangu? Kwa nini basi mnanijia hivi sasa wakati mkiwa katika taabu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo