Waamuzi 10:3 - Swahili Revised Union Version3 Baada yake huyo akainuka Yairi, Mgileadi; naye akawa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka ishirini na miwili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Baada ya Tola, alitokea Yairi wa Gileadi, akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka ishirini na miwili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Baada ya Tola, alitokea Yairi wa Gileadi, akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka ishirini na miwili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Baada ya Tola, alitokea Yairi wa Gileadi, akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa miaka ishirini na miwili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, aliyekuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini na mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na miwili. Tazama sura |