Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 5:7 - Swahili Revised Union Version

7 Akaja, akakitwaa kile kitabu katika mkono wa kulia wake yeye aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Akaja, akakitwaa kile kitabu katika mkono wa kuume wake yeye aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 5:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaoneshe watumwa wake mambo ambayo hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonesha mtumwa wake Yohana;


Kisha nikaona katika mkono wa kulia wake yeye aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi kitabu kilichoandikwa ndani na nyuma, kimetiwa mihuri saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo