Ufunuo 5:14 - Swahili Revised Union Version14 Na wale wenye uhai wanne wakasema, Amina. Na wale wazee wakaanguka, wakasujudu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Na wale viumbe hai wanne wakasema, “Amina!” Na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Na wale viumbe hai wanne wakasema, “Amina!” Na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Na wale viumbe hai wanne wakasema, “Amina!” Na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee wakaanguka kifudifudi wakaabudu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Na wale wenye uhai wanne wakasema, Amina. Na wale wazee wakaanguka, wakasujudu. Tazama sura |