Ufunuo 18:5 - Swahili Revised Union Version5 Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimerundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimerundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimerundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 kwa kuwa dhambi zake zimefika hadi mbinguni, naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 kwa kuwa dhambi zake zimelundikana hadi mbinguni, naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake. Tazama sura |