Sefania 1:7 - Swahili Revised Union Version7 Nyamaza kimya mbele za Bwana MUNGU; Kwa maana siku ya BWANA iko karibu; Kwa kuwa BWANA ametayarisha dhabihu, Amewatakasa wageni wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Nyamazeni mbele ya Bwana Mwenyezi-Mungu, kwani siku ya Mwenyezi-Mungu iko karibu. Mwenyezi-Mungu ameandaa tambiko, nao aliowaalika amewateua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Nyamazeni mbele ya Bwana Mwenyezi-Mungu, kwani siku ya Mwenyezi-Mungu iko karibu. Mwenyezi-Mungu ameandaa tambiko, nao aliowaalika amewateua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Nyamazeni mbele ya Bwana Mwenyezi-Mungu, kwani siku ya Mwenyezi-Mungu iko karibu. Mwenyezi-Mungu ameandaa tambiko, nao aliowaalika amewateua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Nyamazeni mbele za Bwana Mungu Mwenyezi, kwa maana siku ya Mwenyezi Mungu iko karibu. Mwenyezi Mungu ameandaa dhabihu, amewaweka wakfu wale aliowaalika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Nyamazeni mbele za bwana Mwenyezi, kwa maana siku ya bwana iko karibu. bwana ameandaa dhabihu, amewaweka wakfu wale aliowaalika. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Nyamaza kimya mbele za Bwana MUNGU; Kwa maana siku ya BWANA iko karibu; Kwa kuwa BWANA ametayarisha dhabihu, Amewatakasa wageni wake. Tazama sura |