Obadia 1:9 - Swahili Revised Union Version9 Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Ewe Temani, mashujaa wako watatishika na kila mtu atauawa mlimani Esau. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Ewe Temani, mashujaa wako watatishika na kila mtu atauawa mlimani Esau. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Ewe Temani, mashujaa wako watatishika na kila mtu atauawa mlimani Esau. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau. Tazama sura |