Obadia 1:8 - Swahili Revised Union Version8 Siku hiyo, je! Sitawaangamiza watu wenye akili katika Edomu, na wenye ufahamu katika kilima cha Esau? Asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mimi Mwenyezi-Mungu nakuuliza hivi: Je, siku hiyo, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu na wenye maarifa kutoka mlima Esau? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mimi Mwenyezi-Mungu nakuuliza hivi: Je, siku hiyo, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu na wenye maarifa kutoka mlima Esau? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mimi Mwenyezi-Mungu nakuuliza hivi: je, siku hiyo, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu na wenye maarifa kutoka mlima Esau? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Katika siku hiyo,” asema Mwenyezi Mungu, “je, sitaangamiza wenye hekima wa Edomu, hao wenye ufahamu katika milima ya Esau? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Katika siku hiyo,” asema bwana, “je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu, watu wenye ufahamu katika milima ya Esau? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Siku hiyo, je! Sitawaangamiza watu wenye akili katika Edomu, na wenye ufahamu katika kilima cha Esau? Asema BWANA. Tazama sura |