Nehemia 3:29 - Swahili Revised Union Version29 Na baada yake akajenga Shemaya, mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Sadoki, mwana wa Imeri alijenga upya sehemu inayokabiliana na nyumba yake. Sehemu inayofuata, ilijengwa upya na Shemaya, mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Sadoki, mwana wa Imeri alijenga upya sehemu inayokabiliana na nyumba yake. Sehemu inayofuata, ilijengwa upya na Shemaya, mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Sadoki, mwana wa Imeri alijenga upya sehemu inayokabiliana na nyumba yake. Sehemu inayofuata, ilijengwa upya na Shemaya, mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Na baada yake akajenga Shemaya, mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki. Tazama sura |