Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 11:18 - Swahili Revised Union Version

18 Walawi wote waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu mia mbili themanini na wanne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Walawi wote waliokaa mjini Yerusalemu, mji mtakatifu, walikuwa 284.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Walawi wote waliokaa mjini Yerusalemu, mji mtakatifu, walikuwa 284.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Walawi wote waliokaa mjini Yerusalemu, mji mtakatifu, walikuwa 284.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa wanaume mia mbili themanini na wanne (284).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Walawi wote waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu mia mbili themanini na wanne.

Tazama sura Nakili




Nehemia 11:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sitauondoa ufalme wote pia; nitampa mwana wako kabila moja, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu niliouchagua.


Basi, viongozi wa watu walikuwa wakikaa Yerusalemu; nao watu waliosalia wakapiga kura, ili katika watu kumi kumleta mmoja akae ndani ya Yerusalemu mji mtakatifu, na wale tisa wakae mijini.


na Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu, mkuu wa kuanzisha shukrani katika sala, na Bakbukia, wa pili wake miongoni mwa nduguze; na Obadia, mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.


Pamoja na hao, mabawabu; Akubu, Talmoni, na ndugu zao waliolinda malangoni, walikuwa watu mia moja sabini na wawili.


Muda wa majuma sabini umeamriwa juu ya watu wako, na juu ya mji wako mtakatifu, ili kukomesha makosa, na kumaliza dhambi, na kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, na kuleta haki ya milele, na kutia mhuri maono na unabii, na kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu.


Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


nao wakiisha kutoka makaburini mwao, baada ya kufufuka kwake, wakauingia mji mtakatifu, wakawatokea wengi.


Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu,


Na behewa lililo nje ya hekalu uliache nje wala usilipime, kwa maana Mataifa wamepewa hiyo, nao wataukanyaga mji mtakatifu miezi arubaini na miwili.


Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo