Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 50:14 - Swahili Revised Union Version

14 Yusufu akarudi Misri, yeye na ndugu zake, na wote waliokwenda pamoja naye kumzika baba yake, baada ya kumzika baba yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Baada ya kumzika baba yake, Yosefu alirudi Misri pamoja na ndugu zake na watu wote waliokuwa wameandamana naye kwenda kumzika baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Baada ya kumzika baba yake, Yosefu alirudi Misri pamoja na ndugu zake na watu wote waliokuwa wameandamana naye kwenda kumzika baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Baada ya kumzika baba yake, Yosefu alirudi Misri pamoja na ndugu zake na watu wote waliokuwa wameandamana naye kwenda kumzika baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Baada ya Yusufu kumzika baba yake, akarudi Misri pamoja na ndugu zake na wale wote waliokuwa wameenda naye kumzika baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Baada ya Yusufu kumzika baba yake, akarudi Misri pamoja na ndugu zake na wale wote waliokuwa wamekwenda naye kumzika baba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Yusufu akarudi Misri, yeye na ndugu zake, na wote waliokwenda pamoja naye kumzika baba yake, baada ya kumzika baba yake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 50:14
2 Marejeleo ya Msalaba  

kwa kuwa wanawe wakamchukua mpaka nchi ya Kanaani, na wakamzika katika pango ya shamba la Makpela, iliyo mbele ya Mamre, aliyoinunua Abrahamu pamoja na shamba kwa Efroni Mhiti, pawe milki yake ya kuzikia.


Ndugu zake Yusufu walipoona ya kwamba baba yao amekufa, walisema, Labda Yusufu atatuchukia; naye atatulipa maovu yetu tuliyomtenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo