Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 47:3 - Swahili Revised Union Version

3 Farao akawauliza hao nduguze, Kazi yenu ni nini? Wakamwambia Farao, Watumwa wako tu wachunga wanyama, sisi, na baba zetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Farao akawauliza, “Kazi yenu ni nini?” Wakamjibu, “Bwana, sisi watumishi wako ni wachungaji, kama walivyokuwa babu zetu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Farao akawauliza, “Kazi yenu ni nini?” Wakamjibu, “Bwana, sisi watumishi wako ni wachungaji, kama walivyokuwa babu zetu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Farao akawauliza, “Kazi yenu ni nini?” Wakamjibu, “Bwana, sisi watumishi wako ni wachungaji, kama walivyokuwa babu zetu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Farao akawauliza hao ndugu zake, “Kazi yenu ni nini?” Wakamjibu, “Watumishi wako ni wafugaji, kama baba zetu walivyokuwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Farao akawauliza hao ndugu zake, “Kazi yenu ni nini?” Wakamjibu, “Watumishi wako ni wachunga mifugo, kama vile baba zetu walivyokuwa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Farao akawauliza hao nduguze, Kazi yenu ni nini? Wakamwambia Farao, Watumwa wako tu wachunga wanyama, sisi, na baba zetu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 47:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima.


Ndipo wakamwambia, Tafadhali utuambie, wewe ambaye mabaya haya yametupata kwa sababu yako; kazi yako ni kazi gani? Nawe umetoka wapi? Nchi yako ni nchi ipi? Nawe u mtu wa kabila gani?


Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo