Mwanzo 45:15 - Swahili Revised Union Version15 Akawabusu ndugu zake wote, akalia nao, baada ya hayo, nduguze wakazungumza naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Akiwa bado analia, Yosefu akawakumbatia ndugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo ndugu zake walipoweza kuzungumza naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Akiwa bado analia, Yosefu akawakumbatia ndugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo ndugu zake walipoweza kuzungumza naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Akiwa bado analia, Yosefu akawakumbatia ndugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo ndugu zake walipoweza kuzungumza naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo, ndugu zake wakazungumza naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo ndugu zake wakazungumza naye. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Akawabusu ndugu zake wote, akalia nao, baada ya hayo, nduguze wakazungumza naye. Tazama sura |
Ndipo Samweli akatwaa kichupa cha mafuta, akayamimina kichwani pake, akambusu, akasema, Je! BWANA hakukutia mafuta [uwe mkuu juu ya watu wake Israeli? Nawe utamiliki watu wa BWANA, na kuwaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao; kisha hii itakuwa ishara kwako ya kuwa BWANA amekutia mafuta] uwe mkuu juu ya urithi wake.