Mwanzo 43:31 - Swahili Revised Union Version31 Akanawa uso, akatoka, akajizuia, akasema, Leteni chakula. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Baada ya kunawa uso wake, alitoka huku akijikaza, akaamuru chakula kiletwe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Baada ya kunawa uso wake, alitoka huku akijikaza, akaamuru chakula kiletwe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Baada ya kunawa uso wake, alitoka huku akijikaza, akaamuru chakula kiletwe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Baada ya kunawa uso wake, akarudi; huku akijizuia kulia, akasema, “Pakueni chakula.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Baada ya kunawa uso wake, akatoka nje na huku akijizuia akasema, “Pakueni chakula.” Tazama sura |