Mwanzo 42:18 - Swahili Revised Union Version18 Siku ya tatu, Yusufu akawaambia, Fanyeni hivi, mkaishi, maana mimi namcha Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Kwa kuwa mimi ni mcha Mungu, fanyeni hivi ili mpate kuishi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Kwa kuwa mimi ni mcha Mungu, fanyeni hivi ili mpate kuishi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Kwa kuwa mimi ni mcha Mungu, fanyeni hivi ili mpate kuishi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Siku ya tatu, Yusufu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Siku ya tatu Yusufu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Siku ya tatu, Yusufu akawaambia, Fanyeni hivi, mkaishi, maana mimi namcha Mungu. Tazama sura |