Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 41:37 - Swahili Revised Union Version

37 Neno hilo likawa jema machoni pa Farao, na machoni pa watumishi wake wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Shauri alilotoa Yosefu lilionekana kuwa jema mbele ya Farao na watumishi wake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Shauri alilotoa Yosefu lilionekana kuwa jema mbele ya Farao na watumishi wake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Shauri alilotoa Yosefu lilionekana kuwa jema mbele ya Farao na watumishi wake wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Mpango huu ulionekana mzuri kwa Farao na kwa maafisa wake wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Mpango huu ulionekana mzuri kwa Farao na kwa maafisa wake wote.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 41:37
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na hicho chakula kitakuwa akiba ya nchi kwa ajili ya miaka hiyo saba ya njaa, itakayokuwa katika nchi ya Misri, nchi isiharibike kwa njaa.


Farao akawaambia watumishi wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye Roho ya Mungu ndani yake?


Habari ikasikika nyumbani mwa Farao kusema, Ndugu zake Yusufu wamekuja. Ikawa vema machoni pa Farao, na machoni pa watumishi wake.


Wakaangalia watu wote, yakawa mema machoni pao; kama yalivyokuwa mema machoni pao yote aliyoyatenda mfalme.


Ahabu akasema na Nabothi, akamwambia, Nipe shamba lako la mizabibu nilifanye shamba la mboga, maana ni karibu na nyumba yangu; nami nitakupa badala yake shamba la mizabibu lililo zuri zaidi; au ukipenda, nitakupa fedha sawasawa na thamani yake.


Hadi wakati wa kuwadia neno lake, Ahadi ya BWANA ilimjaribu.


Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha safi; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.


Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.


akamtoa katika dhiki zake zote, akampa fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri; naye akamfanya awe mtawala juu ya Misri na nyumba yake yote.


Basi Finehasi kuhani, na wakuu wa mkutano, na hao vichwa vya maelfu ya Israeli waliokuwa pamoja naye, hapo walipoyasikia hayo maneno waliyoyasema hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na wana wa Manase, maneno hayo yaliwaridhisha sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo