Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 41:33 - Swahili Revised Union Version

33 Basi, Farao na ajitafutie mtu wa akili na hekima amweke juu ya nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 “Kwa hiyo yafaa sasa, ee Farao, umteue mtu mwenye ujuzi na hekima, umpe jukumu la kuiangalia nchi yote ya Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 “Kwa hiyo yafaa sasa, ee Farao, umteue mtu mwenye ujuzi na hekima, umpe jukumu la kuiangalia nchi yote ya Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 “Kwa hiyo yafaa sasa, ee Farao, umteue mtu mwenye ujuzi na hekima, umpe jukumu la kuiangalia nchi yote ya Misri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 “Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye akili na hekima ili amweke kuwa msimamizi wa nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 “Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye akili na hekima ili amweke kuwa msimamizi wa nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Basi, Farao na ajitafutie mtu wa akili na hekima amweke juu ya nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 41:33
6 Marejeleo ya Msalaba  

Farao na afanye hivi, tena akaweke wasimamizi juu ya nchi, na kutwaa sehemu ya tano katika nchi ya Misri, katika miaka hii saba ya kushiba.


Farao akamwambia Yusufu, Kwa kuwa Mungu amekufahamisha hayo yote, hapana mwenye akili na hekima kama wewe.


Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.


Basi ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, walioshuhudiwa kuwa wema, wenye kujawa na Roho, na hekima, ili tuwaweke juu ya jambo hili;


Jitwalieni watu wenye akili na fahamu, watu wanaojulikana, kwa kadiri ya makabila yenu, nami nitawafanya wawe vichwa juu yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo