Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 41:20 - Swahili Revised Union Version

20 Na hao ng'ombe waliokonda, wabaya, wakawala wale ng'ombe saba wa kwanza, wale wanono.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Basi, wale ng'ombe waliokonda sana wakawala wale ng'ombe saba wanono.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Basi, wale ng'ombe waliokonda sana wakawala wale ng'ombe saba wanono.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Basi, wale ng'ombe waliokonda sana wakawala wale ng'ombe saba wanono.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hao ng’ombe waliokonda na wabaya sana wakawala wale ng’ombe saba walionona waliojitokeza kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hao ng’ombe waliokonda na wabaya sana wakawala wale ng’ombe saba walionona waliojitokeza kwanza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Na hao ng'ombe waliokonda, wabaya, wakawala wale ng'ombe saba wa kwanza, wale wanono.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 41:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na yule kijana hakukawia kulifanya neno lile, maana amependezewa na binti Yakobo, naye alikuwa mwenye heshima kuliko wote nyumbani mwa babaye.


Kisha, tazama, ng'ombe saba wengine wakapanda baada yao, dhaifu, wabaya sana, wamekonda; katika nchi yote ya Misri sijaona kama hao kwa udhaifu.


Na walipowala haikutambulikana ya kwamba wamewala, bali wakaonekana wabaya kama kwanza. Basi nikaamka.


Na tazama, ng'ombe saba wengine wakapanda nyuma yao kutoka mtoni, wabaya, wamekonda, wakasimama karibu na wale ng'ombe wengine ukingoni mwa mto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo