Mwanzo 41:13 - Swahili Revised Union Version13 Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nilirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Alivyotafsiri ndivyo ilivyotokea: Mimi nikarudishwa kazini kwangu, na yule mwoka mikate mkuu akatundikwa mtini.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Alivyotafsiri ndivyo ilivyotokea: Mimi nikarudishwa kazini kwangu, na yule mwoka mikate mkuu akatundikwa mtini.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Alivyotafsiri ndivyo ilivyotokea: mimi nikarudishwa kazini kwangu, na yule mwoka mikate mkuu akatundikwa mtini.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Nayo mambo yakawa jinsi alivyotufasiria ndoto zetu: Mimi nilirudishwa kazini mwangu, naye huyo mwingine akaangikwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Nayo mambo yakawa sawa kabisa na jinsi alivyotufasiria ndoto zetu: Mimi nilirudishwa kazini mwangu na huyo mtu mwingine akaangikwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nilirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa. Tazama sura |