Mwanzo 36:43 - Swahili Revised Union Version43 jumbe Magdieli, jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu, kulingana na makao yao, katika nchi ya mamlaka yao. Naye huyo ndiye Esau, baba ya Edomu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila yaliyotokana na Edomu, yaani Esau, baba yake Edomu; wametajwa kulingana na makazi yao katika sehemu za nchi walizomiliki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila yaliyotokana na Edomu, yaani Esau, baba yake Edomu; wametajwa kulingana na makazi yao katika sehemu za nchi walizomiliki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila yaliyotokana na Edomu, yaani Esau, baba yake Edomu; wametajwa kulingana na makazi yao katika sehemu za nchi walizomiliki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Magdieli na Iramu. Hao walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Hivi ndivyo vizazi vya Esau, baba wa Waedomu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki. Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu. Tazama sura |