Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 36:21 - Swahili Revised Union Version

21 na Dishoni, na Eseri, na Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake miongoni mwa Wahori wa uzawa wa Seiri, katika nchi ya Edomu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake miongoni mwa Wahori wa uzawa wa Seiri, katika nchi ya Edomu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake miongoni mwa Wahori wa uzawa wa Seiri, katika nchi ya Edomu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,


Na wana wa Lotani, ni Hori, na Hemamu; na dada yake Lotani ni Timna.


Na hawa ni wana wa Eseri, Bilhani, na Zaawani, na Akani.


jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.


Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo