Mwanzo 34:1 - Swahili Revised Union Version1 Basi Dina, binti Lea, ambaye Lea alimzalia Yakobo, akatoka kuwaona binti za nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Siku moja, Dina, binti yake Yakobo na Lea, alikwenda kuwatembelea wanawake wa nchi hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Siku moja, Dina, binti yake Yakobo na Lea, alikwenda kuwatembelea wanawake wa nchi hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Siku moja, Dina, binti yake Yakobo na Lea, alikwenda kuwatembelea wanawake wa nchi hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Basi Dina, binti Yakobo aliyezaliwa na Lea, akaenda kuwatembelea wanawake wa nchi ile. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Basi Dina, binti wa Yakobo aliyezaliwa na Lea, akatoka nje kuwatembelea wanawake wa nchi ile. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Basi Dina, binti Lea, ambaye Lea alimzalia Yakobo, akatoka kuwaona binti za nchi. Tazama sura |