Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 31:9 - Swahili Revised Union Version

9 Hivi Mungu akamnyang'anya mali yake baba yenu, na kunipa mimi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Ndivyo Mungu alivyochukua wanyama wa baba yenu, akanipa mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Ndivyo Mungu alivyochukua wanyama wa baba yenu, akanipa mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Ndivyo Mungu alivyochukua wanyama wa baba yenu, akanipa mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Hivyo Mungu amechukua mifugo ya baba yenu na amenipa mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Hivyo Mungu amechukua mifugo ya baba yenu na amenipa mimi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Hivi Mungu akamnyang'anya mali yake baba yenu, na kunipa mimi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 31:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wanyama wakapata mimba mbele ya hizo fito, wakazaa wanyama walio na milia, na madoadoa, na marakaraka.


Basi Yakobo akasikia maneno ya wana wa Labani, wakisema, Yakobo amechukua mali yote ya baba yetu; na kwa mali ya baba yetu amepata fahari hii yote.


Ikawa, wakati wale wanyama walipochukua mimba, niliinua macho yangu nikaona katika ndoto, na tazama, mabeberu waliowapanda hao wanyama walikuwa na milia, na madoadoa, na marakaraka.


Maana mali yote ambayo Mungu amemnyang'anya baba yetu, mali hiyo ndiyo yetu na ya wana wetu. Basi, yoyote Mungu aliyokuambia, uyafanye.


mbuzi majike mia mbili, mbuzi dume ishirini, kondoo majike mia mbili, na kondoo dume ishirini;


Maana kila mnyama-pori ni wangu, Na mifugo juu ya angani elfu.


Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo