Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 29:7 - Swahili Revised Union Version

7 Akasema, Tazama, kungali mchana bado, wala sio wakati wa kukusanya wanyama; wanywesheni kondoo, mwende kuwalisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hapo Yakobo akawaambia, “Naona bado ni mchana, na si wakati wa kuwakusanya kondoo pamoja. Basi, wanywesheni kondoo maji, mwende mkawachunge.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hapo Yakobo akawaambia, “Naona bado ni mchana, na si wakati wa kuwakusanya kondoo pamoja. Basi, wanywesheni kondoo maji, mwende mkawachunge.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hapo Yakobo akawaambia, “Naona bado ni mchana, na si wakati wa kuwakusanya kondoo pamoja. Basi, wanywesheni kondoo maji, mwende mkawachunge.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Akawaambia, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Akasema, Tazama, kungali mchana bado, wala sio wakati wa kukusanya wanyama; wanywesheni kondoo, mwende kuwalisha.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 29:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akawauliza, Je! Hajambo? Wakasema, Hajambo; tazama, Raheli binti yake anakuja na kondoo.


Wakasema, Hatuwezi, Mpaka makundi yote yakusanyike, watu wakabingirishe jiwe katika kinywa cha kisima, ndipo tunapowanywesha kondoo.


mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo