Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 27:35 - Swahili Revised Union Version

35 Akasema, Nduguyo amekuja kwa hila, akaichukua baraka yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Lakini Isaka akasema, “Ndugu yako alikuja kwa hila, naye amechukua baraka yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Lakini Isaka akasema, “Ndugu yako alikuja kwa hila, naye amechukua baraka yako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Lakini Isaka akasema, “Ndugu yako alikuja kwa hila, naye amechukua baraka yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Lakini akamjibu, “Ndugu yako amekuja kwa udanganyifu, akachukua baraka yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Lakini akasema, “Ndugu yako amekuja kwa udanganyifu na akachukua baraka yako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Akasema, Nduguyo amekuja kwa hila, akaichukua baraka yako.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 27:35
10 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akatetemeka tetemeko kuu sana, akasema, Ni nani basi yule aliyetwaa mawindo akaniletea? Nami nimekwisha kula kabla hujaja wewe, nikambariki; naam, naye atabarikiwa.


Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


Basi niitieni manabii wote wa Baali, wote wamwabuduo, na makuhani wake wote; mtu asikose kuwapo hata mmoja. Maana ninayo dhabihu kubwa ya kumtolea Baali; yeyote atakayekosa kuwapo hataishi. Lakini Yehu alifanya hayo kwa hila, ili awaharibu waliomwabudu Baali.


Je! Mtanena yasiyo ya haki kwa ajili ya Mungu, Na kusema kwa udanganyifu kwa ajili yake?


Jihadharini, kila mtu na jirani yake, wala msimtumaini ndugu awaye yote; maana kila ndugu atachongea, na kila jirani atakwenda huku na huko na kusingizia.


Je! Sisi sote hatuna Baba mmoja? Mungu aliyetuumba siye mmoja tu? Basi, mbona kila mmoja wetu anamtenda ndugu yake mambo ya hiana, tukilinajisi agano la baba zetu?


Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si kutoka kwetu.


Mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosea katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizaye kisasi cha haya yote; kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudia sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo