Mwanzo 27:31 - Swahili Revised Union Version31 Naye pia amefanya chakula kitamu akamletea babaye, akamwambia baba yake. Babangu na ainuke, ale mawindo ya mwanawe, ili uweze kunibariki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Esau pia akatengeneza chakula kitamu, akampelekea baba yake, akamwambia, “Haya baba, inuka ule mawindo yangu mimi mwanao, ili upate kunibariki!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Esau pia akatengeneza chakula kitamu, akampelekea baba yake, akamwambia, “Haya baba, inuka ule mawindo yangu mimi mwanao, ili upate kunibariki!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Esau pia akatengeneza chakula kitamu, akampelekea baba yake, akamwambia, “Haya baba, inuka ule mawindo yangu mimi mwanao, ili upate kunibariki!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Naye pia akaandaa chakula kitamu, akamletea baba yake. Kisha akamwambia, “Baba yangu, keti ule sehemu ya mawindo yangu, ili upate kunibariki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Naye pia akaandaa chakula kitamu akamletea baba yake. Kisha akamwambia, “Baba yangu, keti ule sehemu ya mawindo yangu, ili upate kunibariki.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Naye pia amefanya chakula kitamu akamletea babaye, akamwambia baba yake, Babangu na ainuke, ale mawindo ya mwanawe, ili aweze kunibariki. Tazama sura |