Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 24:9 - Swahili Revised Union Version

9 Yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la Abrahamu bwana wake, akamwapia katika neno hilo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Basi, mtumishi huyo akaweka mkono wake mapajani mwa Abrahamu, bwana wake, akaapa kuhusu jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Basi, mtumishi huyo akaweka mkono wake mapajani mwa Abrahamu, bwana wake, akaapa kuhusu jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Basi, mtumishi huyo akaweka mkono wake mapajani mwa Abrahamu, bwana wake, akaapa kuhusu jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Basi yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la bwana wake Ibrahimu, akamwapia kuhusu shauri hili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Basi yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la bwana wake Ibrahimu akamwapia kuhusu shauri hili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la Abrahamu bwana wake, akamwapia katika neno hilo.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 24:9
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha huyo mtumishi akatwaa ngamia kumi katika ngamia za bwana wake akaenda zake, maana mali zote za bwana wake zilikuwa mkononi mwake, akaondoka, akaja mpaka Mesopotamia, mpaka mji wa Nahori.


Abrahamu akamwambia mtumishi wake, mzee wa nyumba yake, aliyetawala vitu vyake vyote, Tafadhali uutie mkono wako chini ya paja langu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo