Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 21:26 - Swahili Revised Union Version

26 Abimeleki akasema, Mimi sijui ni nani aliyetenda neno hili, wala hukuniambia, wala sikusikia habari hii ila leo tu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Abimeleki akamwambia, “Mimi sijui nani aliyefanya hivyo; mpaka leo hii wewe hukuniambia; wala mimi sijapata kusikia habari hizi hadi leo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Abimeleki akamwambia, “Mimi sijui nani aliyefanya hivyo; mpaka leo hii wewe hukuniambia; wala mimi sijapata kusikia habari hizi hadi leo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Abimeleki akamwambia, “Mimi sijui nani aliyefanya hivyo; mpaka leo hii wewe hukuniambia; wala mimi sijapata kusikia habari hizi hadi leo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Lakini Abimeleki akasema, “Sijui ni nani ametenda hili. Hukuniambia, leo tu ndipo ninasikia habari zake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Lakini Abimeleki akasema, “Sijui ni nani ambaye amefanya hili. Hukuniambia, leo tu ndipo ninasikia habari zake.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Abimeleki akasema, Mimi sijui ni nani aliyetenda neno hili, wala hukuniambia, wala sikusikia habari hii ila leo tu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 21:26
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kukawako ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abramu, na wachunga wanyama wa Lutu; na siku zile Wakanaani na Waperizi walikuwa wakikaa katika nchi.


Kisha Abrahamu akamlaumu Abimeleki kwa sababu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamemnyang'anya.


Abrahamu akatwaa kondoo na ng'ombe akampa Abimeleki, na hao wawili wakafanya mapatano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo