Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 21:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mungu akamfumbua macho, naye akaona kisima cha maji; akaenda akakijaza kiriba maji, akamnywesha kijana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mungu akamfumbua Hagari macho, naye akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, akamnywesha mtoto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mungu akamfumbua Hagari macho, naye akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, akamnywesha mtoto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mungu akamfumbua Hagari macho, naye akaona kisima cha maji. Akaenda akajaza kiriba maji, akamnywesha mtoto wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Ndipo Mungu akamfumbua Hajiri macho, akaona kisima cha maji. Hivyo akaenda akajaza kiriba maji na kumpa kijana anywe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Ndipo Mungu akamfumbua Hagari macho yake naye akaona kisima cha maji. Hivyo akaenda akajaza kiriba maji na kumpa kijana anywe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mungu akamfumbua macho, naye akaona kisima cha maji; akaenda akakijaza kiriba maji, akamnywesha kijana.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 21:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo kisima kile kiliitwa Beer-lahai-roi. Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.


Malaika wa BWANA akamwona kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi iliyoko katika njia ya kuendea Shuri.


Ndipo BWANA akafunua macho ya Balaamu akamwona malaika wa BWANA amesimama njiani, akiwa na upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa, naye akainamisha kichwa, akaanguka kifudifudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo