Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 2:15 - Swahili Revised Union Version

15 BWANA Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, Mwenyezi-Mungu akamtwaa huyo mwanamume, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, Mwenyezi-Mungu akamtwaa huyo mwanamume, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, Mwenyezi-Mungu akamtwaa huyo mwanamume, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Bwana Mwenyezi Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 bwana Mwenyezi Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 BWANA Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 2:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati.


BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, “Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,


Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.


BWANA Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.


Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu;


Taabu ya mikono yako hakika utaila; Utakuwa heri, na kwako kwema.


Mwizi asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akifanya kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo