Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 19:7 - Swahili Revised Union Version

7 Akasema, Basi, nawasihi, ndugu zangu, msitende vibaya hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 akawaambia, “Ndugu zangu, nawasihi msitende uovu huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 akawaambia, “Ndugu zangu, nawasihi msitende uovu huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 akawaambia, “Ndugu zangu, nawasihi msitende uovu huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Akawaambia, “La hasha, rafiki zangu! Msifanye jambo hili ovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 akasema, “La hasha, rafiki zangu. Msifanye jambo hili ovu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Akasema, Basi, nawasihi, ndugu zangu, msitende vibaya hivi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 19:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hata kabla hawajalala, watu wa mji, wenyeji wa Sodoma, wakaizunguka nyumba, vijana kwa wazee, watu wote waliotoka pande zote.


Lutu akawatokea mlangoni, akafunga mlango nyuma yake.


Tazama, ninao binti wawili ambao hawajajua mwanamume, nawasihi nitawatolea kwenu mkawafanyie vilivyo vyema machoni penu, ila watu hawa msiwatende neno, kwa kuwa wamekuja chini ya dari yangu.


Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.


Tena mwanamume akilala pamoja na mwanamume, kama alalavyo na mwanamke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.


Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao;


Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.


Pasiwe na kahaba katika binti za Israeli, wala pasiwe na hanithi katika wana wa Israeli wanaume.


Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kandokando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.


Naye mwenye nyumba akawatokea hapo nje, na kuwaambia, La, sivyo, ndugu zangu nawasihi msifanye uovu jinsi hii; kwa kuwa mtu huyu ameingia ndani ya nyumba yangu, msifanye upumbavu huu.


Kisha Gaali, mwana wa Ebedi, akaenda pamoja na nduguze, wakavuka na kufika Shekemu; na watu wa Shekemu wakawa na imani naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo