Mwanzo 19:32 - Swahili Revised Union Version32 Haya, na tumnyweshe baba yetu mvinyo, tukalale naye, ili tumhifadhie baba yetu uzao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Basi, tumlevye baba kwa divai, ili tupate kulala naye na kudumisha uzawa kwa kupata watoto kwake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Basi, tumlevye baba kwa divai, ili tupate kulala naye na kudumisha uzawa kwa kupata watoto kwake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Basi, tumlevye baba kwa divai, ili tupate kulala naye na kudumisha uzawa kwa kupata watoto kwake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Tumnyweshe baba yetu mvinyo, kisha tukutane naye kimwili ili tuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Tumnyweshe baba yetu mvinyo kisha tukutane naye kimwili ili tuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Haya, na tumnyweshe baba yetu mvinyo, tukalale naye, ili tumhifadhie baba yetu uzao. Tazama sura |