Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 15:8 - Swahili Revised Union Version

8 Akasema, Ee Bwana MUNGU, nipateje kujua ya kwamba nitaimiliki?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini Abramu akamwambia, “Ee Mwenyezi-Mungu, nitajuaje kwamba nitaimiliki nchi hii?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini Abramu akamwambia, “Ee Mwenyezi-Mungu, nitajuaje kwamba nitaimiliki nchi hii?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini Abramu akamwambia, “Ee Mwenyezi-Mungu, nitajuaje kwamba nitaimiliki nchi hii?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mungu Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitaimiliki?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini Abramu akasema, “Ee bwana Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapata kuimiliki?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akasema, Ee Bwana MUNGU, nipateje kujua ya kwamba nitaimiliki?

Tazama sura Nakili




Mwanzo 15:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Unipatie ndama wa miaka mitatu, na mbuzi mke wa miaka mitatu, na kondoo dume wa miaka mitatu, na hua, na mwana njiwa.


Akupe baraka ya Abrahamu, wewe na uzao wako pamoja nawe, upate kuirithi nchi ya kusafiri kwako, Mungu aliyompa Abrahamu.


Yusufu akawaambia ndugu zake, Mimi ninakufa, lakini Mungu atawajia ninyi bila shaka, atawapandisha toka nchi hii, mpaka nchi aliyowaapia Abrahamu, na Isaka, na Yakobo.


Hezekia akamwambia Isaya, Je! Kutakuwa na ishara gani ya kwamba BWANA ataniponya, nami siku ya tatu nitapanda nyumbani kwa BWANA.


Unifanyie ishara ya wema, Wanichukiao waione na kuaibishwa. Kwa kuwa Wewe, BWANA, Umenisaidia na kunifariji.


Jitakie ishara ya BWANA, Mungu wako; itake katika mahali palipo chini sana, au katika mahali palipo juu sana.


Na watu hao waliolivunja agano langu, wasioyatimiza maneno ya agano lile, walilolifanya mbele zangu, wakati ule walipomkata ndama vipande viwili, wakapita katikati ya vipande vile;


wakuu wa Yuda, na wakuu wa Yerusalemu, matowashi, na makuhani, na watu wote wa nchi, waliopita katikati ya vipande vile vya huyo ndama;


Zakaria akamwambia malaika, Nitajuaje neno hilo? Maana mimi ni mzee, na mke wangu ni mkongwe wa siku nyingi.


Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo