Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 14:6 - Swahili Revised Union Version

6 na Wahori katika mlima wao Seiri, mpaka Elparani iliyo karibu na jangwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 na Wahori huko mlimani kwao Seiri, wakawafukuza hadi Elparani, mpakani mwa jangwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 na Wahori huko mlimani kwao Seiri, wakawafukuza hadi Elparani, mpakani mwa jangwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 na Wahori huko mlimani kwao Seiri, wakawafukuza hadi Elparani, mpakani mwa jangwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 na Wahori katika nchi ya vilima ya Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 na Wahori katika mlima wao Seiri, mpaka Elparani iliyo karibu na jangwa.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 14:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Malaika wa BWANA akamwona kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi iliyoko katika njia ya kuendea Shuri.


Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.


Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.


Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.


Wakaondoka katika Midiani, wakafika Parani; wakachukua pamoja nao watu toka Parani, wakafika Misri, kwa Farao mfalme wa Misri; aliyempa nyumba, akaamuru apewe vyakula, akampa mashamba.


Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.


Wana wa Israeli wakasafiri kwenda mbele, kwa safari zao kutoka jangwa la Sinai; na hilo wingu likakaa katika jangwa la Parani.


Baada ya hayo watu wakasafiri kutoka Haserothi, wakapiga kambi katika nyika ya Parani.


Basi Musa akawatuma kutoka nyika ya Parani kama alivyoagizwa na BWANA; wote walikuwa ni watu walio vichwa vya wana wa Israeli.


Na Wahori nao walikuwa wakikaa Seiri hapo kale, lakini wazawa wa Esau waliwafuata; wakawaangamiza mbele yao, wakakaa badala yao; kama alivyofanya Israeli nchi ya milki yake aliyopewa na BWANA.)


kama vile alivyowafanyia wana wa Esau, waliokaa Seiri, alipowaangamiza Wahori mbele yao; wakawafuata, wakakaa badala yao hadi hivi leo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo