Mwanzo 10:10 - Swahili Revised Union Version10 Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa Babeli na Ereku, na Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Miji ya kwanza ya utawala wake ilikuwa Babuloni, Ereki na Akadi, katika nchi ya Shinari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Miji ya kwanza ya utawala wake ilikuwa Babuloni, Ereki na Akadi, katika nchi ya Shinari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Miji ya kwanza ya utawala wake ilikuwa Babuloni, Ereki na Akadi, katika nchi ya Shinari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Vituo vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne, katika nchi ya Shinari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa Babeli na Ereku, na Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari. Tazama sura |